Swaxiliavaf urimak 12

Un article de Wikikrenteem.
Jump to: navigation, search

Swaxiliavafa urima
  Xanto  
Vergumvelt Kiswahili methali
Sutesik -
Piskura -
Ava Swaxiliava
Evla -
  Kalkotavara  
Vergumvelt Swaxiliavafa urima
Kalkotavasik Bruno Cordelier
Piskura Kotava.org
Evla 2006-2013
  Krentduga  
Webesik Bcordelier
Krentduga Compare.jpg Tuenayana

12. Swaxiliavafa urima (331-360)[modifier]

331. Sahani iliyofunikwa, kilichomo kimesitirika.

Viele razeka al zo besar : cek tir merowin.


332. Samaki mmoja akioza, huoza wote.

Ede kabay zaxawer pune kotafa ezba zo gonimpar.


333. Shauku nyingi huondoa maarifa.

Djumerapa va beta xeyuca sodeswar.


334. Shika! Shika! na mwenyewe nyuma.

Ebidul ! Ebidul ! is rin doon !


335. Shimo la ulimi mkono haufutiki.

Nuba va feks ke yoy someadoner.


336. Shoka lisilo mpini halichanji kuni.

Nubeltiskafa kufta va inta someludzer.


337. Si kila mwenye makucha huwa simba.

Bet kotcakirik sometir krapol.


338. Sikio halilali na njaa.

Oblaka aeleson somekomoder.


339. Sikio halipwani kichwa.

Oblaka vamoe taka sometigir.


340. Sikio la kufa halisikii dawa.

Selaxa va xadafa oblaka someroper.


341. Siku njema huonekana asubuhi.

Vielany mali gazda zo sowir.


342. Siku utakayokwenda uchi, ndiyo siku utakayokutana na mkweo.

Viele lebon lanitil : viele va ikagadikeem kakevetel.


343. Simba mwenda kimya ndiye mla nyama.

Krapol amliton lanis tir tel atelestus.


344. Simbiko haisimbuki ila kwa msukosuko.

Fartuckuyuna xa anton puidepeson zo sokaloyar.


345. Sitafuga ndwele na waganga tele.

Va akolafa mona godivlaní larde kurmik aultoved.


346. Subira ni ufunguo wa faraja.

Keuca tir vey auluca.


347. Subira yavuta heri, huleta kilicho mbali.

Keuca va fala koimpar : va sumufa coba vanburer.


348. Sumu ya neno ni neno.

Jiva va ravlem tir ravlem.


349. Tajiri na maliye, maskini na mwanawe.

Kulik is tufa, dum wawik is nazbeik.


350. Tamaa mbele, mauti nyuma.

Taneon djumera, azon awalkera.


351. Taratibu ndiyo mwendo.

Viafa is belafa : laniranya batinde tir.


352. Teke la kuku halimwumizi mwanawe.

Iniara ke wilya va wiloc somerotur.


353. Tonga si tuwi.

Melukrafa wageyexa me tir wageyexacka.


354. Ubishi mwingi huvuta mateso.

Nugersera va mijera sodiskir.


355. Ubishi ni chanzo cha kuteta.

Nugera toz mijesir.


356. Ucheshi wa mtoto ni anga la nyumba.

Rumeafa kipera va mona sokoafir.


357. Uchungu wa mwana, aujua mzazi.

Kranav ke vartera va nazbeik : gadikya sogruper.


358. Udongo uwahi ungali maji.

Va kuritca nyofal edje ina tir abdafa.


359. Udugu wa nazi hukutania chunguni.

Beruca ke toloye wageye tir koe rekleda.


360. Ukenda kwa wenye chongo, vunja lako jicho.

Dene tanitik, itasemal !

Jonbukiraca.jpg
Swaxiliavafa urima
← 11. (301-330 ur-) - 12. (331-360 ur-) - 13. (361-395 ur-) →